Thursday, October 5, 2017
KAMPUNI YA HARI SINGH YAENDELEA NA UJENZI WA BARABARA YA KIVULE DAR ES SALAAM
Baadhi ya Mafundi wa Kampuni ya Ujenzi wa Barabara Hari Singh wakiendelea na vipimo vya ujenzi wa Barabara ya Kitunda hadi Kivule kwa kiwango cha lami jijini Dar es Salaam leo.
Wednesday, October 4, 2017
STARS WAPIGA TIZI KUIVAA MALAWI
Wachezaji
Taifa Stars, wakifanya mazoezi ya kukimbia kwa ajili yakujianda na mechi ya
kirafiki dhidi ya Malawi mazoezi yaliyofanyika viwanja vya Boko Veterani Dar es
Salaam jana.Picha na Double J Blog
Wachezaji wa timu ya Taifa Stars wakifanya mazoezi ya viungo katika Uwanja wa boko Veteran Dar es Salaam. Picha na Double J Blog
Wachezaji wa timu ya Taifa Stars wakifanya mazoezi ya viungo katika Uwanja wa boko Veteran Dar es Salaam. Picha na Double J Blog
Tuesday, October 3, 2017
MSEMAJI WA SIMBA HAJI MANARA AKIZUNGUMZA NA WAANDISHI WA HABAR KUSU MCHEZO WAO WA KIRAFIKI DHIDI YA TIMU YA DODOMA FC
Msemaji wa Klabu ya Simba, Haji Manara, akizungumzia maandalizi ya mchezo kati ya Dodoma FC na Simba katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Dodoma
Monday, October 2, 2017
AZAM YAANDAA TAMASHA LA FILAM LA KIMATAIFA
Mratibu wa Tamasha la jipya la kimataifa la filam
litakalojulikana kwa jina la Sinema Zetu, linalozaminiwa na Kampuni ya Azam Tv,
Zamaradi Nzowa, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam juu ya kuanza
kushindanish kazi za wasanii. Picha na Double J Blog
Msanii wa Filam nchini, Elizabeth Michael (Lulu),
akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kuteuliwa na
Azam Tv kuwa balozi wa Tamasha la jipya la kimataifa la filam litakalojulikana
na kwa jina la Sinema Zetu, linalozaminiwa na Kampuni ya Azam Tv, (katikati) ni
Mkurugenzi wa tamasha wa Tv, Jacob Joseph na kulia ni, mratibu wa
tamasha hilo, Zamaradi Nzowa. Picha na Double J Blog
Sunday, October 1, 2017
TIMU YA TANZANITE YAPIGWA (6) MBELE YA WAZIRI MWAKYEMBE
Kipa wa timu ya Tanzanaite, Gelwa Yona akiokoa mpira ulioelekezwa golini kwake wakati wa mchezo wao dhidi ya Nigeria uliochezwa katika Uwanja wa Chamazi. Picha na Double J blog
Kikosi cha Nigeria cha wanawake
Kikosi cha Tanzanite ya Tanzania
Mchezaji wa Tanzanite, Zainab Ati akiwatoka wachezaji wa Nigeria wakati wa mchezo wao wa kufuzu fainali za Dunia kwa wanawake waalio chini ya miaka 20 uliochezwa katika Uwanja wa Chamazi Dar es Salaam jana
Kikosi cha Nigeria cha wanawake
Kikosi cha Tanzanite ya Tanzania
Mchezaji wa Tanzanite, Zainab Ati akiwatoka wachezaji wa Nigeria wakati wa mchezo wao wa kufuzu fainali za Dunia kwa wanawake waalio chini ya miaka 20 uliochezwa katika Uwanja wa Chamazi Dar es Salaam jana
Subscribe to:
Posts (Atom)
