Friday, November 10, 2017
YANGA WAENDELEA MAZOEZI UWANJA WA UHURU DAR ES SALAAM LEO
Kocha msaidizi wa Yanga , Shadrack Nsajigwa (kulia), akiwania mpira na mchezaji wa tiumu hiyo, Ninja wakati wa mazoezi yaliofanyika katika Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam leo. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Wednesday, November 8, 2017
MICHUANO YA MPIRA WA PETE YAPENDEZA
Mchezaji wa Timu ya mpira wa Pete ya Pamoja Youth, akimiliki mpira wakati wa mchezo wao wa michuano ya ligi daraja la pili dhidi na Polisi Sengerema, uliofanyika katika viwanja vya Jakaya Kikwete Dar es Salaam juzi
AIRTEL YAZINDUA HUDUMA YA KUBORESHA MTANDAO IJULIKANAYO KWA JINA LA U900 LA
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mbando (kulia), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akitangaza kuzinfua huduma mpya ya iliyopewa jina la U900’ ukiwa na lengo la kuimrisha ubora wa mtandao (kushoto) ni Meneja wa huduma wa mtandao, Emannuel Luanda. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Meneja wa huduma ya mtandao Airtel Tanzania, Emannuel Luanda, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana wakati alipokuwa akitangaza kuzindua huduma mpya iliyopewa jina la U900’ ukiwa na lengo la kuimrisha ubora wa mtandao (kushoto) ni
Meneja Uhusiano wa Airtel Tanzania Jackson Mbando
PICHA NA DOUBLE J BLOG
Tuesday, November 7, 2017
AZAM WAACHANA NA MCHEZAJI WAO, YAHAYA MOHAMMED
Msemaji wa timu ya Azam FC, Jaffar Idd.akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam leo kuhusu timu hiyo kuachana na mchezaji wao raia wa Ghana, Yahaya Mohammed. PICHA NA DOUBLE J BLOG
STARS WAPIGA TIZI KATIKA VIWANJA VYA JAKAYA KIKWETE DAR ES SALAAM
Wachezaji wa Stars wakipiga tizi
Wachezaji wa Timu ya Taifa Stars, Ibrahim Ajib (kushoto), na Simon Msuva, wakiwania mpira wakati walipokuwa wakifanya mazoezi katika Viwanja wa Jakaya Kikwete Kidongo Chekundu Dar es Salaam jana. PICHA DOUBLE J BLOG
Wachezaji wa Timu ya Taifa Stars, Ibrahim Ajib (kushoto), na Simon Msuva, wakiwania mpira wakati walipokuwa wakifanya mazoezi katika Viwanja wa Jakaya Kikwete Kidongo Chekundu Dar es Salaam jana. PICHA DOUBLE J BLOG
Wednesday, November 1, 2017
WEMA SEPETU AKIWA NA MAMA YAKE WAKITOKA MAHAKAMANI
Msanii wa Bongo Movie, Wema Sepetu
(kushoto) akiwa mama yake mzazi, Miriam Sepetu wakati alipokuwa akitoka katika
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam jana kusikiliza kesi inayo
mkabili. PICHA NA DOUBLE J BLOG
Wakazi wa Kigogo Dar es Salaam wakijinasua kutoka katika maji baada ya nyumba zao kujaa maji kutokana na mafuliko yaliotokea jijini humo leo
Mkazi wa Kigogo Dar es Salaam akili kwa uchungu baada ya mali zake kusombwa na maji
Waumini wa Kiislam katika Msikiti wa Kigogo Dar es Salaam wakitoka nje ya msikiti huo baada ya kujaa maji
Wakazi wa Kigogo Dar es Salaam wakimsaidia mmoja wa kutoka katika maji baada ya nyumba zao kujaa maji kutokana na mafuliko yaliotokea jijini humo leo
Mkazi wa Kigogo Dar es Salaam akili kwa uchungu baada ya mali zake kusombwa na maji
Waumini wa Kiislam katika Msikiti wa Kigogo Dar es Salaam wakitoka nje ya msikiti huo baada ya kujaa maji
Wakazi wa Kigogo Dar es Salaam wakimsaidia mmoja wa kutoka katika maji baada ya nyumba zao kujaa maji kutokana na mafuliko yaliotokea jijini humo leo
Subscribe to:
Posts (Atom)